| Date: |
24th Apr 10
8:00am - 6:00pm |
| Location: |
Chuo cha Mipango, Dodoma |
| Contact Person: |
Odilia Mushi |
| Contact Telephone: |
0262323176 |
| Attached Document: |
|
Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI inatarajia kuwa mwenyeji wa Kongamano la siku moja la Makatibu Mhutasi 1500 kutoka Wizara, Taasisi za Serikali na taasisi binafsi nchini.
Lengo la kongamano hilo ambalo litafanyika Dodoma tarehe 24/04/2010 ni kuwakutanisha wafanyakazi wa kada hiyo ili waweze kubadilishana mawazo, uzoefu katika kazi na changamoto wanazokabiliana nazo katika utendaji wao wa kazi.
|